المشاركات

عرض المشاركات من يوليو, ٢٠٢٠

UMUHIMU WA MTOTO KATIKA UWISLAM KABLA YA KUZALIWA.

                       بسم لله الرحمن الر حيم                   السلام عليكم ورحمة الله وبركاته  Ndugu zangu katika iman leo tutaangalia  ✨ UMUHIMU WA MTOTO KATIKA UISLAAM KABLA YA KUZALIWA .  ▫Uislaam umetilia maanani kuhusu malezi ya mtoto kabla hajaanza kupata umbo tumboni. Nandio maana mtume (صلى الله عليه وسلم) amesema: "jitahidi upate(mke) mwenye kushikamana na dini, basi furaha zote ni zako" . Uzuri na utajiri si sifa pekee za kutosha kuchaguwa mke sambamba na sifa hizo mwanamke anatakiwa awe na sifa ya uchamungu, kwani watoto wake ndio warithi wa tabia zake.   ▫Vile vile mtume amemuelekeza yule alie tayari kuolewa amkubalie yule mwenye uchamungu na tabia za kidini. Mtume (صلى الله عليه وسلم) amesema: "atakapo kujieni yule mulie mridhia dini yake na akhlaq (tabiya) zake basi muozesheni ..."   ▫Kwavile uislaam umehimiza kumchagulia  mtoto mama mwema kabla kuja duniani mtoto huyo ndomana mtume ameonya kuoana na ndugu wa karibu ili watoto wasizaliwe madhaif