المشاركات

عرض المشاركات من أكتوبر, ٢٠٢٠

4: MAONI YA UWISLAMU JUU YA MALEZI YA WATOTO

                           بسم لله الرحمن الرحيم            السلام عليكم ورحمة الله و بركاته🤝🏻   الحمد لله رب العالمين، والصلاة والسلام على رسول الله   محمد صلى الله عليه وسلم  :أما بعد  MAONI YA UISLAAMU JUU YA MALEZI YA WATOTO.  Watoto ni maua yanayo chanua na kunukia katika maisha yetu, vile vile ni nyota inayo nģara katika mustaqbali wetu (maisha yajayo).  Watoto ndio wenye jukumu la kudumisha historia ya mataifa yao na wao wanawajibu wa kutumia nguvu zao katika kulinda nchi na mataifa yao. Na kwasababu hiyo, ndipo uislaamu umehimiza sana umuhimu wa malezi ya mtoto. Kwani mtume s.w.s amesema  ( كلكم راع وكلكم مسئول عن رعية والرجل راع في أهله ... )  Maana ya *Hadidhi* nyote ni watu wenye kuchunga na kila mmoja ataulizwa juu ya anacho kichunga na mwana mme ni mchungaji juu ya watu wake na ataulizwa juu ya watu wake...  QUR'AN ina maagizo na masharti katika maisha ya mtoto pia kumuongoza na kumpangia utaratibu katika maisha yake. Kwani mtume wetu ame ashiriya kuhusu nid